iqna

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya hivi majuzi ya wanajeshi kadhaa wa Ukraine kuteketeza moto nakala ya Qur'ani Tukufu inaendelea kulaaniwa vikali , huku rais wa Jamhuri ya Chechnya katika Shirikisho la Russia akiapa kuwatafuta na kuwaadhibu wale waliohusika na kitendo hicho kichafu.
Habari ID: 3476722    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18